Jaribu kuifanyia full factory defaulty then reset internet seting,, kuiflash cm ambayo haina tatizo linalo hitaji kufanyiiwa flashing some times inakuwa risk coz kunaweza kutokea software pack error's alafu ikawa ndo ishakusepa mkuu.kama ni nokia orignal nenda kwenye setting thn utaikuta factory defaulty phonecode huwa ni 12345 kama hukuzibadili then kama vp jaribu kuistall tena hiyo package thn unstall tena .