Msaada jamani ninashida na hii kitu

muyatz

Member
Jul 12, 2017
50
19
021dc7805bd971168be313f751996d2a.jpg
Nitaipata wapi? na kwa bei gani? msaada jamani mtu ambaye anacho au hata kama kipo dukani shi ngapi?
 
maduka ya camera nenda, mi nilinunua yangu class 10 64gb kwa 50,000. mtaa wa uhuru na congo kama unaenda uhuru na swahili mkono wa kulia angalia kuna maduka mengi mengi ya camera.

ila hakikisha una kifaa cha kutestia, usije ukaingizwa mjini.
 
maduka ya camera nenda, mi nilinunua yangu class 10 64gb kwa 50,000. mtaa wa uhuru na congo kama unaenda uhuru na swahili mkono wa kulia angalia kuna maduka mengi mengi ya camera.

ila hakikisha una kifaa cha kutestia, usije ukaingizwa mjini.
wapi dar es salama au wapi uo mtaa wa uhuru congo
 
Back
Top Bottom