wapi dar es salama au wapi uo mtaa wa uhuru congomaduka ya camera nenda, mi nilinunua yangu class 10 64gb kwa 50,000. mtaa wa uhuru na congo kama unaenda uhuru na swahili mkono wa kulia angalia kuna maduka mengi mengi ya camera.
ila hakikisha una kifaa cha kutestia, usije ukaingizwa mjini.
dar kariakoowapi dar es salama au wapi uo mtaa wa uhuru congo