kholo
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 413
- 75
Heshima mbele sana wanajamvi, naombeni msaada namna ya ku-unlock hizi modem mpya za airtel, modem yangu ni Model ya E173u-1. Nimejifanya mgumu wa kuto hama lakin sasa maji yameshazidi unga. Please naomba hata mwenye anafahamu unlock code anitupie jamani. Ahsanten