Msaada: Jamani king'amuzi cha Azam mikoani!

Msaada: Jamani king'amuzi cha Azam mikoani!

A.J.K

Member
Joined
Aug 18, 2011
Posts
14
Reaction score
2
Habari wana jf!Naomba kusaidiwa jinsi ya kupata king'amuzi cha azam kwa sisi watu wa mikoani!Me niko singida na ninahitaji sana king'amuzi hicho maana nimesikia ni vizuri!
 
Habari wana jf!Naomba kusaidiwa jinsi ya kupata king'amuzi cha azam kwa sisi watu wa mikoani!Me niko singida na ninahitaji sana king'amuzi hicho maana nimesikia ni vizuri!

www.azamtv.com
 
tuma contact zako nikuunge na wakala wa hapo singida ni kizuri saaana. Mwenyewe natumia hicho
 
Hapo Singida nenda pale karibu na hospitali ya mkoa vuka barabara upande wa kaskazini kama unaelekea machinjioni kuna wakala hapo.
 
King'amuzi cha kichina hicho..Decoder zao hazina clear picture giza giza tu.... kamatv yako haina uwezo wa kuongeza lightness imekula kwako kama cha star Times...Sielewi Serikali yetu kwenye idara hizi wanahongwa pesa ngapi hadi wanaruhusu matakataka haya kujazwa nchini mwetu wachina wamegeuza kwetu kama dampo lao huku wakisaidiwa na wazawa... Mambo CTV haina hata haja ya kuwa na HD
 
King'amuzi cha kichina hicho..Decoder zao hazina clear picture giza giza tu.... kamatv yako haina uwezo wa kuongeza lightness imekula kwako kama cha star Times...Sielewi Serikali yetu kwenye idara hizi wanahongwa pesa ngapi hadi wanaruhusu matakataka haya kujazwa nchini mwetu wachina wamegeuza kwetu kama dampo lao huku wakisaidiwa na wazawa... Mambo CTV haina hata haja ya kuwa na HD

Unaweza ndugu ukanielekeza zaidi kuhusu hii CTV? Mimi nimeboreka saaaana na hivi ving'amuzi, channels unazotangaziwa ama hutazipata zote au nyingine unazipata kwa muda halafu zinatoweka. Nimebadili mpaka sasa utafikiri nina biashara ya ving'amuzi, hapa mwishoni mwaka jana nikaingia mkenge wa Easy TV- hawana lolote ni wezi wakubwa, karibu channel 5 ambazo nilikuwa nazitumia zote wameziondoa, sana sana nalazimika kangalia TBC
 
Unaweza ndugu ukanielekeza zaidi kuhusu hii CTV? Mimi nimeboreka saaaana na hivi ving'amuzi, channels unazotangaziwa ama hutazipata zote au nyingine unazipata kwa muda halafu zinatoweka. Nimebadili mpaka sasa utafikiri nina biashara ya ving'amuzi, hapa mwishoni mwaka jana nikaingia mkenge wa Easy TV- hawana lolote ni wezi wakubwa, karibu channel 5 ambazo nilikuwa nazitumia zote wameziondoa, sana sana nalazimika kangalia TBC

Pole sana Mkuu sheria zetu zipo down au hatuzijui or tunaona kama kupoteza muda kushitaki vyombo husika au kuishitaki Serikali... huu ni wizi wa kushirikiana baina ya Serikali na Vyombo husika...

CTV ni kampuni ya Cable Television wapo Tanga,Mwanza,Unguja,Dar es Salaam na kama sikosei Pemba. nambari yao ya simu ni landline 022 2116611 nachojua kwa haraka Dar wanatoa huduma zao Upanga,Kariakoo,City Centre,Magomeni,Buguruni,Ilala,Mikocheni, Msasani na Masaki sehemu zingine sijajua pia wanayo website Office zao zipo JM Mall 2floor... Channel zaidi ya 170 za kihindi na za kizungu ndio nyingi... Wanyama,Soccer,Mieleka,Basketball,Tennis,Golf,Cricket,Box Movie,Dini,Watoto n.k na picha yao ipo clean sana sio giza giza na pia wana channel za HD zinaonesha hadi uwe na decoder ya HD muonekano wake ni kama unatizama DSTV
 
Back
Top Bottom