Msaada jamani. kazi yeyote ya IT. pleaseeeeee!!!

Msaada jamani. kazi yeyote ya IT. pleaseeeeee!!!

Joined
Feb 20, 2013
Posts
33
Reaction score
5
Wanajamii jamani, nina shida ya kibarua cha IT jamani.. anybody mwenye kuweza kunisaidia tafadhari, hata kunishika mkono mahali. hasahasa networking sector
nashukuru sana.
 
fika pale damu salama walitangaza nafasi za kazi deadline tarehe 29 mambo ya kuingiza data kajaribu
pale msimbazi centre
 
Mi nataka mtu wa kuendesha internet cafe, niPM
 
Kweli nchi yetu bado sana,mtu wa IT anakosa kazi!!!!????
 
Kweli nchi yetu bado sana,mtu wa IT anakosa kazi!!!!????

Tatizo ni hivi vyuo vya vichochoroni.... mtu anaenda hapo miezi mitatu....masaa 2 kila siku...akitoka hapo anasema yeye ni IT...Ukimpa Router aifanyie configuration anasema hatukufundishwa hiyo.........
 
ndugu kazi zilizopo siku hizi ni sales tu kama waweza sales ndo utaishi mjini tena uwe na driving license kama una vigezo na uko committed sema tukupe machannel chalii yangu
 
ndugu kazi zilizopo siku hizi ni sales tu kama waweza sales ndo utaishi mjini tena uwe na driving license kama una vigezo na uko committed sema tukupe machannel chalii yangu

wap uko tuje
 
Tatizo ni hivi vyuo vya vichochoroni.... mtu anaenda hapo miezi mitatu....masaa 2 kila siku...akitoka hapo anasema yeye ni IT...Ukimpa Router aifanyie configuration anasema hatukufundishwa hiyo.........

hebu ndugu tuambie ni chuo gani hapa tanzania cha elimu ya juu kinafundisha kuconfigure router?

Mimi nijuavyo kwa sasa knowledge hii hutolewa kama proffessional courses ambazo ni vendor based.
 
Acheni masihara kama hujui wapi pana kazi tulia kuliko kuongea mambo ambayo hayana msingi,nchi iko sehemu mbaya sana kama hatuwezi kusaidiana wananchi wenyewe tutaangamia.au unapenda kuona wewe unatembea na gari yako alafu mwenzio yuko kituoni anasubiria daladala, alafu unasema ''Acha wahangaike siwalikimbia shule?'' wewe mwenyewe hapo ulipo umepigiwa pande tu na shemeji au mjomba,acha hizo wewe!!!!!!!!!! Eti kukomfiga router!!?? Kwani kazi za IT ni router comfiguration pekeyake? Weeeeee!!!!! Chunga!!!!!
 
umeonaee@samson wamesahau kuwa kutangulia c kufika,waache dharau cha mcng kusaidiana na kupeana mawazo vijana now wanahangaika sn n elimu zao,hal mbaya!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom