Hiyo sio TB ya mifupaDada yangu alianza kuumwa mwaka 2018 mwezi 4 na alipelekwa hospitaliti mwaka huo huo mwezi wa 9 na aligundulika ana TB ya mifupa.
Kipindi hicho alikuwa hawezi hata kusimama sababu mwili ulidhoofu sana, alianza kutumia dozi takribani miez 6 - 9 hivi lakin hali yake haikuimarika sababu afya yake haikurudi mpaka mpaka sasa na pia toka mwaka 2018 bado hajaweza kusimama hata kutembea.wiki Jana hali yake ilianza kuwa mbaya.
Tafadhali, msaada wa mawazo , ushauri au hata kwa anaejua mashirika yanayoweza kutoa msaada wa matibabu kwa sababu familia ina uwezo duni na imekata tamaa.Tafadhali Tunaomba msaada wenu sana jf.Ahsanteni
Comments zako ni nzuri Ila zinaniacha mshangao kwa sababu, kwa uelewa wako unahisi kila mtu anaelewa lugha yako ya kitabibu, ni sawa umesoma Ila sio kila mtu anaelewa ulichosomea, kama una moyo wa kutoa msaada uwe unatoa kwa kiswahili mtu anapata mwanga kwa kile unachokusudia kusemaHiyo sio TB ya mifupa
Probably ana vitu Kati ya hivi
Transverse Myelitis
Multiple Sclerosis
Brain Space Occupying Lesion
Anatakiwa kufanyiwa
Brain and Spine MRI
Lumbar Puncture for CSF Analysis
NotedComments zako ni nzuri Ila zinaniacha mshangao kwa sababu, kwa uelewa wako unahisi kila mtu anaelewa lugha yako ya kitabibu, ni sawa umesoma Ila sio kila mtu anaelewa ulichosomea, kama una moyo wa kutoa msaada uwe unatoa kwa kiswahili mtu anapata mwanga kwa kile unachokusudia