kwani server ni yako?
kama ni yako make sure unatumia ssd badala ya hdd, tafuta processor nzuri na ram kubwa.
kama si yako basi haikuhusu mmiliki wa server ndie anaeamua. either tafuta package nzuri kwenye zerver za huyo huyo au hama server hizo tafuta server nyengine zenye response nzuri
samahani mkuu nawezaje kumjua mmiliki wa server ya blogspot yangu?
mkuu blogspot zinakuaga hosted kwenye server za google unachoweza kufanya kama ni blog jaribu punguza size ya picha i mean file size... ukawa una upload picha za mb hadi 3 jaribu kuzicompless size zifike hadi vi kb kadhaa hakikisha haifiki 200kb hapo itakua inaload faster