HARRISON ONE
Member
- Jan 8, 2014
- 42
- 30
Nina iPad 3.ilikuwa inafanya kazi vizuri kabisa.imezima ghafla na haitaki kuwaka!! Wataalam msaada wenu unaitajika.nawasilisha
Toa battery kisha rudisha na itawaka.ikigoma rudi uliponunua wakupe nyingine kama unayo kwa muda mfupi toka umeinunua
Nina iPad 3.ilikuwa inafanya kazi vizuri kabisa.imezima ghafla na haitaki kuwaka!! Wataalam msaada wenu unaitajika.nawasilisha