iOS naweza kusema ni platform ya kichoyo hata kama ukitengeneza app katika Windows PC bado utahitaji Mac kwa ajili ya ku-compile xcode. Pia utahitaji Apple Developers account $99/year kama utataka apps zake ziwe kwenye iTunes store. Enhee na iDevice kama iPhone, iPod, iPad kwa ajili ya kufanya testing.
xcode huwa inakuja na mac so chakufanya kama una Mac yako fungua xcode anza kufanya mambo. xcode ina UI nzuri na unaweza kufanya simulation na testing kupitia hiyo Mac yako.
usisahau kupitia hapa: www.developer.apple.com hapo kuna watata wakutosha na documentation nyingi sana.
mimi sio mtaalamu wa iOS development ila one day ntakuonesha njia rahisi ya kutengeneza iOS apps bila kutumia xcode!!!!!
Kama walivyosema watu inabidi uwe na mac environment kuweza ku compile ios app. Unaweza ukainstall mac kwenye pc ya kawaida hii inaitwa hackingtosh na inahitaji utafiti na uvumilivu sana, pia unaweza kuinstall mac ndani ya windows kwa kutumia virtual environment kama vmware. Zaidi ya hapo unahitaji kulipa $99 kwa mwaka hata kuinstall hiyo app kwenye simu yako mwenyewe, hili pia linakwepeke kwa jailbreaking na makaratee mengine ila ni shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.