Msaada: Interview Utumishi

Msaada: Interview Utumishi

pepa zao hao jamaa hwasahihishi wala nn! mimi kuna pepa nliingia nkaandika jina na kutoka cha kushangaza matokeo yanatoka nimescore 50%
duh ni shida kweli kweli, UTUMISHI huwa hawatumii majina katika hatua za awali katika usaili so acha kupotosha umma kijana..!!
 
utumishi noma...unakuta swali moja uandike research proposal...
 
jumamosi pale mwalimu nyerere memorial univ. hapakutosha aisee
 
Back
Top Bottom