Hehehehehe! kwani ulisoma chuo ngani?
wadau naomba msaada interview za utumishi kada ya computer system analyst,mana kada hii ni pana je wanapendelea sana kuuliza kwenye portion gani? tafadhali kwa mwenye ujuzi wa hili anisidie mana wengine ni fresh.
nawasilisha.
wadau naomba msaada interview za utumishi kada ya computer system analyst,mana kada hii ni pana je wanapendelea sana kuuliza kwenye portion gani? tafadhali kwa mwenye ujuzi wa hili anisidie mana wengine ni fresh.
nawasilisha.
Nime Ctrl F, matangazo yote ya usaili sikupati, yumkini hujaitwaJamani naombeni mniangalizie Neema Munisi...sales n marketing kama nimeitwa na lini na wapi simu yangu inazingua
Nime Ctrl F, matangazo yote ya usaili sikupati, yumkini hujaitwa
utumishi hawajali muda kabisa yaani.
hafu wamesema leo ni oral nimekutana na paper la kuandaa presentation kwa microsoft power point.
interview wliosema.tutaanza.7am hadi sasa 2pm katika kada yetu hajaitwa ata mtu mmoja.
Presentation tena , post ipi hiyo ?
pepa zao hao jamaa hwasahihishi wala nn! mimi kuna pepa nliingia nkaandika jina na kutoka cha kushangaza matokeo yanatoka nimescore 50%
pepa zao hao jamaa hwasahihishi wala nn! mimi kuna pepa nliingia nkaandika jina na kutoka cha kushangaza matokeo yanatoka nimescore 50%