Nilishaulizwa hili swali sehem bahati nzuri niliulizwaga kwa kiswahili nilifungukaaaa
,anyway hili swali kutokana na kazi niliyoiomba halikuwa gumu.niliwajibu tu kwa sasa nimejiajiri wakaniuluza kwa nn nimeenda kuomba kazi wakati tayari nimeshajiajiri? Nikawajibu nimekuja hapa kunyesha ufanisi wangu wa kazi katika company ili kuleta maendeleo channya katika company na wafanyakazi wake (jiamini wakati ukijibu) utaulizwa ufanisi kivipi??? Utasema jinsi gani ulivyo mchapakazi jinsi gani unavyojali mda au utasema unakipaji fulan etc ... .....