Msaada internet tigo-blackberry bold 9780

Msaada internet tigo-blackberry bold 9780

Bwana Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,551
Reaction score
1,777
Nawasalimu wana Jf...kuna kitu kinanizingua the whole week..ninatumia simu Blackberry 9780..mwanzo nilikuwa natumia Airtell ilikuwa inafanya vizur lakin nilipobadilisha line na kutumia tigo hapo ndo mambo yamekwama nime-subscribe bando za internet twice but nothing have been materialize sor far...nahitaji msaada wenu kwa yeyote anayelijua hili
 
limekaa tatizo la kitigo tigo taizidi nakushauri nenda ofisini kwao kuliko kuja huku kwa tatizo hilo
 
Nawasalimu wana Jf...kuna kitu kinanizingua the whole week..ninatumia simu Blackberry 9780..mwanzo nilikuwa natumia Airtell ilikuwa inafanya vizur lakin nilipobadilisha line na kutumia tigo hapo ndo mambo yamekwama nime-subscribe bando za internet twice but nothing have been materialize sor far...nahitaji msaada wenu kwa yeyote anayelijua hili
Hata mimi ni vivyo hivyo niko mkoa hao waliopo kwenye hizi ofisi za mikoa ni mbumbu mzungu wa reli hawajui chochote ndio maana tunakimbilia JF ,kwani JF ni zaidi ya hao walioko huko kwenye hizo customer care za hayo makampuni ya simu,wengi ni akina dada na kazi ni kujishebedui na visimu vyao tu badala ya kufanya kazi na kujifunza,kinachoshangaza ni kuwa kuna watu kwa mfano wameaajiriwa kwa kushughulikia matatizo ya uungwanishaji wa intaneti na vitu vingine lakini si wataalamu wa hizo simu,nilitegemea hapo kungekuwa na watu waliosomea ufundi wa simu na mawsiliano,lakini wapi hata setting hawajui,ukiuliza
 
Hata mimi ni vivyo hivyo niko mkoa hao waliopo kwenye hizi ofisi za mikoa ni mbumbu mzungu wa reli hawajui chochote ndio maana tunakimbilia JF ,kwani JF ni zaidi ya hao walioko huko kwenye hizo customer care za hayo makampuni ya simu,wengi ni akina dada na kazi ni kujishebedui na visimu vyao tu badala ya kufanya kazi na kujifunza,kinachoshangaza ni kuwa kuna watu kwa mfano wameaajiriwa kwa kushughulikia matatizo ya uungwanishaji wa intaneti na vitu vingine lakini si wataalamu wa hizo simu,nilitegemea hapo kungekuwa na watu waliosomea ufundi wa simu na mawsiliano,lakini wapi hata setting hawajui,ukiuliza
Ndo Tanzania yetu hii..utamkuta mtu kasoma sheria yupo bank kama teller sasa ndo hivyo na najua kwamba ukienda kwenye center zao ndo kichef chef......wameshakula pesa mara mbili bila huduma but naamini hapa JF wapo wanaoweza
 
Nawasalimu wana Jf...kuna kitu kinanizingua the whole week..ninatumia simu Blackberry 9780..mwanzo nilikuwa natumia Airtell ilikuwa inafanya vizur lakin nilipobadilisha line na kutumia tigo hapo ndo mambo yamekwama nime-subscribe bando za internet twice but nothing have been materialize sor far...nahitaji msaada wenu kwa yeyote anayelijua hili

Kama uko mkoani/ukitoka as far as kibaha set network mode to 2G
 
hahaha ina maana hao wameajiriwa lakini hawajui kitu? OMG its strange.. Wanapeana kazi kiundugu ndugu so ufanisi ni zero
 
hahaha ina maana hao wameajiriwa lakini hawajui kitu? OMG its strange.. Wanapeana kazi kiundugu ndugu so ufanisi ni zero
ndo ilivyo kaka wanabahatisha bahatisha tuu...nchi ishakufa hii unadhani?hamna kitu
 
hahaha ina maana hao wameajiriwa lakini hawajui kitu? OMG its strange.. Wanapeana kazi kiundugu ndugu so ufanisi ni zero

Ujue utaalam wa simu kwa nchi yetu ni experience na sio ujuzi wa darasani maana vyuo vyetu havifundishi simu bali computer tena windows based computer na sio mac usishangae ukienda na simu haingii internet wakakushauri uiflash
 
Back
Top Bottom