Msaada: Huyu Dada nimfanyeje?

Kuendekeza nae mazoea ndo
Chanzo cha yy kuendelea
Kukudekea kama umemzaa
 
kama ni kisu we mtafune usije ukafanya kosa kuacha mwanamke nyuma hata kweny buti wewe muweke.
 
Mkuu jiandae kutangazwa wewe una kibamia, kozi dada anataka dudu we unamnyima Kuna siku atakuvizia atakubaka we subili.
 
Bravo.
 
Ningempigia kimy , block Kila
Cona ya social network na
Kuhama hapo kama naish tabata
Bhas nasepa mpaka kino
Namm nimeona si kawaida,leo nimeanza mchakato wa kuondoka maana hii changamoto hatari
 
Ha ha ha ngoja nijaribu kuwa bongo movie
 
Mpe dudu hyo wewe wanaume wa dar mkoje kwani, au umeambiwa dudu ni kama ice cream itaisha
 
kuna vidume hapo vishapiga siku nyingi na ndoa holaaaaa.
Baada ya kufanya utafiti kidogo,hiyo familia inawatoto wakike wanne ambao mdogo kabisa ni 23+ na wote hawajaolewa wawili tayari wamezaa home na shule walikataa,so mama yao amechoka nao,so kwa mazingira hapa mm ninapo kaa nimtego wa ndoa ya mkeka,ukigusa tu unanasa....na kwa taarifa ya wenyeji huwa hawakatai mwanaume yaani wanahuruma sana anytime,anywhere cos wao muda mwingi wapo home hawana kazi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…