Msaada: Huwa sielewi maana ya 2G, 3G na 4G

Msaada: Huwa sielewi maana ya 2G, 3G na 4G

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,507
Reaction score
29,289
Huwa nasikia kwenye makampuni ya simu kuwa baada ya muda fulani watabadilisha network ya 2g au 3g na juzi hapa nimeona matangazo kwenye mtandao wa kampuni ya Tigo kuwa wamezindua network ya 4G!

Hivi hii network huwa ni aina gani ya kifaa au ni huduma gani!?
 
Back
Top Bottom