untold servant
Member
- Jul 13, 2019
- 20
- 4
As salaam aleikum wanajukwaa
Mdogo wangu anasumbuliwa na vipele leo ni siku ya tatu usiku wa kuamkia leo hajalala hivo kutazama vimekuwa vikubwa kiasi tumejaribu kumkamua wametoka wadudu kila kipele kimoja kimetoa mdudu mmoja hili linaweza kuwa tatizo gani?
Wadudu waliotoka ni mfano wa funza kama wanavyonekana pichani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu anasumbuliwa na vipele leo ni siku ya tatu usiku wa kuamkia leo hajalala hivo kutazama vimekuwa vikubwa kiasi tumejaribu kumkamua wametoka wadudu kila kipele kimoja kimetoa mdudu mmoja hili linaweza kuwa tatizo gani?
Wadudu waliotoka ni mfano wa funza kama wanavyonekana pichani.
Sent using Jamii Forums mobile app