Msaada: Huu ni ugonjwa gani?

Jul 13, 2019
20
4
As salaam aleikum wanajukwaa

Mdogo wangu anasumbuliwa na vipele leo ni siku ya tatu usiku wa kuamkia leo hajalala hivo kutazama vimekuwa vikubwa kiasi tumejaribu kumkamua wametoka wadudu kila kipele kimoja kimetoa mdudu mmoja hili linaweza kuwa tatizo gani?

Wadudu waliotoka ni mfano wa funza kama wanavyonekana pichani.

20191223_144635.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom