Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,157
- 2,268
Wakuu kama mada inavyojieleza hapo juu, nina simu yangu aina ya Htc one M8 nilikuwa naitumia kama kawaida. Mara ghafla ikawa haisomi line ukiweka line inasema "No Simcard". Nikapeleka kwa fundi wakaiflash haikufaa, wakasema labda ni kile kichuma kinachoshilkilia line walibadilisha lakini simu haikupona. Fundi akaniambia ni tatizo la "software" na wataalam wengi hapa Arusha wameniambia ni tatizo la software bila kusema software ipi na inarekebishwaje .... isipokuwa kuna muuza simu mmoja kaniambia niende Nairobi nako ni kuingia gharama si za msingi.
Naomba kama kuna mjuvi anisaidie niko tayari hata kumtoa "uchakavu" simu ikipona
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kama kuna mjuvi anisaidie niko tayari hata kumtoa "uchakavu" simu ikipona
Sent using Jamii Forums mobile app