msaada hp photosmart printer 6520

msaada hp photosmart printer 6520

h120

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
2,545
Reaction score
3,368
Nahitaji kujua kwa aliyewahi tumia hii printer kuhusu ubora wa picha zake na mengineyo, na pia upatikanaji wa catridge zake ambazo namba zake ni 564 na bei za hzo catridge.
 
Nahitaji kujua kwa aliyewahi tumia hii printer kuhusu ubora wa picha zake na mengineyo, na pia upatikanaji wa catridge zake ambazo namba zake ni 564 na bei za hzo catridge.

Mkuu ukifanikiwa kupata catrdge zake please na mie nijulishe, nimezunguka kila kona ya jiji hili nimechemka; hivi sasa nimeishelve... ubora wa picha unakidhi haja ya soko; namaanisha average!!
 
Mkuu ukifanikiwa kupata catrdge zake please na mie nijulishe, nimezunguka kila kona ya jiji hili nimechemka; hivi sasa nimeishelve... ubora wa picha unakidhi haja ya soko; namaanisha average!!

duh kumbe ni janga catrdg zake?
 
Siku hizi nasikia kuna mautundu ya Catirage yoyote ya Printer kuijaza wino tena kwa bei rahisi na ikapiga kazi kama kawaida.
 
Siku hizi nasikia kuna mautundu ya Catirage yoyote ya Printer kuijaza wino tena kwa bei rahisi na ikapiga kazi kama kawaida.

Yap niliona kwenye youtube wanavyo refill hzi catridge ila nahisi quality hazitakuwa nzuri kwa picha za rangi.
 
Nahitaji kujua kwa aliyewahi tumia hii printer kuhusu ubora wa picha zake na mengineyo, na pia upatikanaji wa catridge zake ambazo namba zake ni 564 na bei za hzo catridge.
watafute hawa watu wanaitwa 5star printing wanaweza kukufungia External catrage Ambazo ni za tank unaweza jaza wino kwa bei rahisi na Quality pic
Pia waweza watafuta wauzaji wa vifaa vya Epson.
 
watafute hawa watu wanaitwa 5star printing wanaweza kukufungia External catrage Ambazo ni za tank unaweza jaza wino kwa bei rahisi na Quality pic
Pia waweza watafuta wauzaji wa vifaa vya Epson.

Mchuzi juu tena hilo printer lenyewe ni all in one scanner copier na printer hapo hapo. Hilo tank sijui litakaa wapi? Ila nimefatilia nkaja kujua hizi printer zilikuwa ziuzwe US pekee na sio nje ya hapo ndo maana wino zake tabu, nilikuwa nasoma kwa forum moja hivi watu walionunua hizi printer huko germany wanahaha wino hazipatikani huko kwao.
 
Iyo printer ninayo ila bei yake ni ghali sana kwa wino 250,000/= zinakua nne tu.
 
Iyo printer ninayo ila bei yake ni ghali sana kwa wino 250,000/= zinakua nne tu.

hii balaa wapi umeziona wino zake?
printer yenyewe bei $149 na catridg bei balaa aseee.
 
watafute hawa watu wanaitwa 5star printing wanaweza kukufungia External catrage Ambazo ni za tank unaweza jaza wino kwa bei rahisi na Quality pic
Pia waweza watafuta wauzaji wa vifaa vya Epson.

wauza wino wa nje kariakoo opposite na benjamin mkapa sec, mtaa wa mheza. Wapo facebook King j dvd ( epson tanzania) namba yao.0715636266
 
printer zipi ndo nzuri wadau!!maana hyo naona kama inacost sana.
 
Back
Top Bottom