KNCU pale zipo mkuuNatarajia kwenda Moshi kwa muda wa wiki mbili, naomba msaada wa Hotel au Lodge nzuri ambayo gharama yake ni elfu 30
Malindi innNatarajia kwenda Moshi kwa muda wa wiki mbili, naomba msaada wa Hotel au Lodge nzuri ambayo gharama yake ni elfu 30
pale usimshauri boss!KNCU pale zipo mkuu
Hahaha...eti malindi inn.Malindi inn
Sangana Iko majengo Rose gardenNatarajia kwenda Moshi kwa muda wa wiki mbili, naomba msaada wa Hotel au Lodge nzuri ambayo gharama yake ni elfu 30
Nipo Carribean Lodge,mida hii tayari namzomea mdada wa watu ambae alikuwa ananitangaza kwa marafiki zangu kuwa kamwe siwezi kumlalaView attachment 2264499


















Dah nmecheka sanaYeah sure mkuu apo pako vzr afu pametuliaNenda carribean lodge. Iko maeneo ya dar street au kali yake zaidi iko hapo hapo jirani inaitwa kenyata lodge km sikosei.inatazama na moshi airport.
Hizo ndio lodge standard kwa hapo Moshi kwa bei yako. Utanikuja kunishukuru.
Kwa akili hizi Katiba mpya hatupati kirahisiChaka langu lilikua maeneo ya dar street nimekula totoz sana pale. Fika ayo maeneo utapata
Bajeti yake 30k itatosha Keys Hotel?Nenda keys hotel mkuu ipo karibu na shule ya senti meri goreti
NdioBajeti yake 30k itatosha Keys Hotel?