AgentX
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 1,651
- 1,697
Habari wakuu. Nina meno mawili ya juu yametoboka kwa pamoja. Sasa yanauma. Nisingependa kuyang'oa nataka tufanye re fill. Ila nitasikliza ushari wa mtaalamu. Je ni wapi naweza kupata huduma zote hizi? Pamoja na kusafisha meno.
Niko dar. Nina kadi ya NHIF. Au kama gharama nidokeze na kiasi
Niko dar. Nina kadi ya NHIF. Au kama gharama nidokeze na kiasi