habari wapendwa nasumbuliwa na hivi vipele naomba msaada kwa anaejua dawa nimezunguka mahospitalini bila mafanikio.
Maji ya baridi sana (ukiweza lala au ingia ndani ya pipa la maji kaa humu muda hata wa
dakika 30)
Sabuni yaan medicated soap yoyote
Dawa ya kutuliza maumivu especially
ibuprofen utaandikiwa kunywa vidonge 2 mara 3 kwa siku, ila tafuta vile ambavyo ni vitamu km pipi ndio vizuri kumeza hauhitaji maji unamung'unya tu mdomoni bila maji unameza vingine ni vichungu km kroloqwini
Kuna lotion zipo pharmacy pia za calamite unaweza kupaka
Kunywa
maji mengi yawe
maji ya baridi ukiweza ya barafu yatakua mazuri zaidi sio ya moto, usitumie tena kunywa ya maji ya moto wewe ume-
overheat yaan umewaka mwili wako
umewaka sio kawaida
Yaan hakikisha mwili wako ngozi yako
unapigwa na maji ya baridi ukiweza weka mabarafu kabisa mpaka utetemeke kaa humo hata
lisaa limoja, kamwe
usioge maji ya vuguvugu au
maji ya moto acha kabisa
Usitumie vitu vya moto moto sijui maji ya moto, chai ya moto, kahawa ya moto, uji wa moto hata chakula usile cha moto sana kiwe kimeshapoa la sivyo utapandisha tena temperature juu na hali itaendelea kurudi, subiri hadi upone ndio utumie vitu vya moto, wewe ni moto unapoongeza moto moto unakua mkali zaidi yaani ni km unachochea moto kwa hio tumia vitu vya baridi baridi, vitu vya moto moto achana navyo kwa kipindi hiki hadi hali ikae sawa kwanza
Ngozi yako inahitaji
ifyonzefyonze maji ya baridi sana ili mwili upoe ndio kupona kwako huko, usiogope kwanza ukioga maji ya baridi huwezi hisi km ni ya baridi sababu wewe ni wa
Moto umewaka balaa yaan ume-overheat body temperature ipo juu muda wote unahitaji
coolers ili uirudishe temperature chini ndio hivyo
vilivyoziba hayo matundu ya majasho vitayeya vyenyewe
Ndani ya wiki hali inaanza kukaa sawa, issue ya huo ugonjwa ni uvutaji wa Sigara km alivyokwambia mdau hapo juu, km huwezi kuacha kuvuta punguza ila fanya nilivyokwambia utapona