Satuuuu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,849
- 1,993
Wkend njema mkuu Ila waweza pitia pitia tena huu Uzi maana kuna mengi huko wapo waliokua viwanja Jana Usiku wao wakasema mbele zao kuna warembo Ila habari hii iliwafanya wawe kama wamekunywa mafuta ya taa na wengine Leo hawajaenda viwanja na hawana mpango huo.Chezea doze weweHahahahaha mkuu pongezi zikufikie kwa haya mawazo maana umeifanya wkend yangu Kuwa murua kbs.