Kuwa na amani dadake uko salama kabisa wala usihofuHuu uzi umenikumbusha majanga yang mwez uliopta kiwembe kilinikata bahat mbaya kilikuwa ktandan alaf mda huo alikuwa ametoka kukitumia mdada wetu wa kaz kujinyolea kwapan zmepta cku 6 nashika pochi yake nakuta ARV cna Aman wala furaha mpak nitakapopma haya maisha jaman ni kumuomba tu Mungu cku hyo nmemkuta na hz Dawa ctokaa nisahau sikula cku 4 nalia tu nmemuomba Mungu sahv na unafuu hofu imepungua
Nilienda kwa doctor nikamwambia zmeshapta cku 7 toka nijkate akanipa REVIVO CAPSULES kaniambia nmeze mwez mzma xaxa ndo sielew hata zinafanyaje kaz yy kaniambia cjui znaenda kuboost immune systemFanya hv nenda kwenye duka la dawa halafu jaribu kuwaulizia nadhani watakusaidia
Asante mpenzKuwa na amani dadake uko salama kabisa wala usihofu
Haina haja ya kuja na id mpya mkuu cha msingi fuata ushauri wa wadau hapaKwani hata kama ame do nae,si pia kuna uwezekano hajaambukizwa,posibility ipo
Neema, HIV is a political and commercial/business nameAsante mpenz
Anapiga tungi sahv
Kvp nifafanulieNeema, HIV is a political and commercial/business name
Naomba jibu kama ndio hiv au ni vya nin View attachment 489846
======
Ni hivi, huyu dada anakaa Arusha, nilikutanaga naye kwenye semina moja hivi tukabadilishana contact kiukweli nilitokea kumpenda sana huyu cos ni mzuri sana yani mzurii natamani hata niweke picha zake but nimeona sio poa kisuuu yani white ana kashepu flan hivi hatari huo mdomo sasa yani ni mzuri kiukweli.
sasa baada ya mimi kumtongoza ilimchukua mda sana kunielewa kidogo nikate tamaa but mwisho wa siku alinikubalia mapenzi yakaanza kwa phone yupo Arusha nipo Dsm yeye alisomea marketing na alikua anatafuta kazi nikajitoa muhanga mzee kusaka ajira kwa ajili ya mrembo.
Ndugu yangu mmoja upande wa mama yangu yupo pale voda, Mama yangu ndio aliniambia nikamuone kwa kisingizio mimi ndio nataka kazi, bwana nikaenda nikachonga nae nikamueleza ukweli kwamba sio mimi ni mke wangu mtarajiwa ndio anataka kazi akaniambia nitege siku flani atume CV, kweli bwana mwisho wa siku akatuma CV.
Mungu Mkubwa aisee pamoja na juhudi za yule mother angu akapangiwa interview atabidi sasa aje town kweli kafika Dar akafikia kwa shangazi yake Kino siku ya interview akaenda pale akapass safii tuuuh yani daaah nilifurahi kupita maelezo na yeye pia baada ya miezi mitatu akapanga Sinza.
Hapo kila nikikutana naye kwenye maswala ya mapenzi ni ugomvi mkubwa sana huwezi amin miezi 5 yote kidume nakula kalenda tuuh tuuh hiyo siku nilienda kwake nusu tupigane, eti yupo kwenye siku zake za hatari na nilimwambia kuwa nitakuja kulala huko leo , vurugana sana yani nilikula mateke ayoo akaniambia eti nifuate condom saa 6 usiku daah nitaenda duka gani. Nikaenda geto kwangu Mwenge kuchukua ndom na kurud usiku ule ule.
Nilifanikiwa kula mzigo without those hot kiss cos alikua anakwepa nikala mzigo kibishi tuuuh mzeee mpaka mornie mwenzangu hakuwa anaonyesha kuridhika sijui sababu nilimforce sawa nikachukulia kawaida.
Sasa zile kurupushani za usiku mpaka vitu vingi kuanguka chini yani vilikua shaghala bagala, akaenda kuoga na mimi nianze kutafuta boxer yangu sijui imeanguka upande gani ndio kukutana na hizo kama nane hivi zipo chini.
Mmhhh kwa sikushtuka ila nikahisi kitu nikasema ngoja nichukue kimoja nikaweka kwenye mfuko, leo hiyoo nikaenda muuliza mwanangu yeye kashaumwaga karibu magonjwa mengi sana nikamuulize ebwana unavijua hivi babu, akaniambia eti vitakua vya kuongeza damu hivi nishatumiaga sema vidogo vyake hivi vikubwa sana.
Kuna mwana mwingine akandandia ARV hivyooo wewe nishaviona sehemu Moyo ukafanya paah aisee niliishiwa nguvu baadae akaniambia ila sina uhakika ndio mimi kuna hapa JF ila yule mwanamke hajui chochote.
Nenda Google mtafute Dr Robert Charles Gallo au usachi The man who created AIDS.Kvp nifafanulie
Kwahyo ww kama ww hili swala la kujikata na huu wembe unanishaurijeNenda Google mtafute Dr Robert Charles Gallo au usachi The man who created AIDS.
Au utafute uzi humu Jf wa siku nyingi sana unaitwa Dr Robert Charles Gallo: The man who created AIDS, huu Uzi utakupa nuru kubwa sana kwenye hii kitu inaitwa AIDS.
Kwahyo ww kama ww hili swala la kujikata na huu wembe unanishaurije
Kama hakujitoa damu usiwe na wasiwasi.Huu uzi umenikumbusha majanga yang mwez uliopta kiwembe kilinikata bahat mbaya kilikuwa ktandan alaf mda huo alikuwa ametoka kukitumia mdada wetu wa kaz kujinyolea kwapan zmepta cku 6 nashika pochi yake nakuta ARV cna Aman wala furaha mpak nitakapopma haya maisha jaman ni kumuomba tu Mungu cku hyo nmemkuta na hz Dawa ctokaa nisahau sikula cku 4 nalia tu nmemuomba Mungu sahv na unafuu hofu imepungua
... Miaka kadhaa nyuma nilukutana na changamoto kama hii : Nilikutana na mlimbwende mmoja kwenye harusi ya jamaa yangu na nikamzimikia kweli. Kila nikimsomesha wapiii, na baada ya miezi kadhaa nika give up,maisha yakasonga. Baadae nikapata mdada mwingine tunaendelea naye for some time, maybe a year, tukaachana.One day nikakutana na yule mlimbwende na surprisingly this time kum test kidogo tuu anakubali, na tukapanga kesho tufanye yalee mambo yetu. Kesho yake tukakutana, kikaanza kinywaji then tukaingia room, sasa wakati ndo tunaanza kupasha kabla ya mechi simu ikaanza kuita nikawa nachuna, yule mlimbwende anahisi nipokee kwanza labda ni muhimu, nikapokea, kumbe ni yule demu wangu tuliyeachana naye, nikataka kukata simu but akaniwahi kwamba.. '' wewe huyo uliyenaye hapo ni muathirika, na kama unafikiri ni uongo mpigie rafiki yako fulani muulize '' akakata simu!! Aisee nilipaniki hatari, mlimbwende akaniuliza vipi tena?? Nikamdanfanya kumetokea ajali na mdogo wangu yuko mahututi, mchezo ukaishia pale na akaondoka zake. Nitampigia jamaa yangu kupata uhakika, akasema ni kweli huyo ni muathirika, aisee huo mwezi ulikuwa mchungu sana kwangu... Baada ya hapo nikawa kila miezi sita napima but was found OK. Baadae, after a year or so yule mlimbwende akafariki kwa hilo tatizo.