facts only
Member
- Dec 9, 2016
- 31
- 37
[emoji1] [emoji1] mzee ulipenya kwenye tundu la sindano... Miaka kadhaa nyuma nilukutana na changamoto kama hii : Nilikutana na mlimbwende mmoja kwenye harusi ya jamaa yangu na nikamzimikia kweli. Kila nikimsomesha wapiii, na baada ya miezi kadhaa nika give up,maisha yakasonga. Baadae nikapata mdada mwingine tunaendelea naye for some time, maybe a year, tukaachana.One day nikakutana na yule mlimbwende na surprisingly this time kum test kidogo tuu anakubali, na tukapanga kesho tufanye yalee mambo yetu. Kesho yake tukakutana, kikaanza kinywaji then tukaingia room, sasa wakati ndo tunaanza kupasha kabla ya mechi simu ikaanza kuita nikawa nachuna, yule mlimbwende anahisi nipokee kwanza labda ni muhimu, nikapokea, kumbe ni yule demu wangu tuliyeachana naye, nikataka kukata simu but akaniwahi kwamba.. '' wewe huyo uliyenaye hapo ni muathirika, na kama unafikiri ni uongo mpigie rafiki yako fulani muulize '' akakata simu!! Aisee nilipaniki hatari, mlimbwende akaniuliza vipi tena?? Nikamdanfanya kumetokea ajali na mdogo wangu yuko mahututi, mchezo ukaishia pale na akaondoka zake. Nitampigia jamaa yangu kupata uhakika, akasema ni kweli huyo ni muathirika, aisee huo mwezi ulikuwa mchungu sana kwangu... Baada ya hapo nikawa kila miezi sita napima but was found OK. Baadae, after a year or so yule mlimbwende akafariki kwa hilo tatizo.
Tena maksudically wanakuambia na condom ainogi, hapa ni pale wanataka msuguane vizuri ili baadae akikuomba 250k utoe bila kupepesa macho wakati huo wewe ushamuachia kaugonjwa hatarishiHiyo ipo sana kitaa, halafu girls huwa hawawezi kumhisi mtu mgonjwa, hata akitokea mwanaume anayekohoa huku amekondeana lakini ana ka-vitz basi wanafurahia sana, hawakatai.
I feel the same natamani mke wangu ashushweNatamani mwanaume wangu ashushwe awe malaika asiwe mchepukaji
Post Exposure Prophylaxix,kitu kinachotumika kukukinga baada ya kuwa exposed na kitu flan ..eg mwanamke unekutana na mwanaume danger day,au mwanamke umebakwa,au umecontact na damu yenye virusi vya ukimwi kwa bahati mbaya..so within 72 hours unapata dawa za kukinga mimba au ukimwi ndo sasa vinaitwa PEP.Nimefatilia uzi Toka mwanzon, sema sijaumaliza wote ila nikakutana na vitu kama PEP, undetectable status, naomba madaktar mnielezee vizur ni nn?.. msaada tafadhali
Na ww uwe malaika kabla yy hajawa malaikaNatamani mwanaume wangu ashushwe awe malaika asiwe mchepukaji
Mkuu maambukizi ya hyo kitu hayatoki kwa sk moja au tano hyo kitu inaweza kuja kuonrkana baada ya miezi hata kumi, naona dokta ameamua kukupoza tu ili uspaniki by nowNime lazimisha kupima kaniambia aina ila kunitoa wasi wasi kanipima na hii kitu na nyingine kanipa yani majibu hapo hapoView attachment 489902
Pole Sana mkui. Vp ymaekukutaNaomba jibu kama ndio hiv au ni vya nin View attachment 489846View attachment 489847
Kuna kila rangi mkuu. Hata za blue zipo,za njano pia zipo.
Pole Sana mkuu. Vp yamekukuta?Naomba jibu kama ndio hiv au ni vya nin View attachment 489846View attachment 489847
Hahaha wee mbeyaNadhani ukweli umeupata. Haya tuambie,umevipata wapi?
Thanks doctor, am aa ok.Of cuz