PRINCE PRIS
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 347
- 587
- Thread starter
-
- #41
Asante mkuuFirst of all... Don't panic Mr........ Viangalie Vizuriiiii.... Zen Kama ukikuta ni vya Aina mbil tofauti ila vyafanana Mwonekano wa maumbo yaweza Kuwa vyenyew vya HIV positive.... Hapo pia ucpanik..... Mana kutembea na mtu Mwenye HIV c Kuwa naww ndo Umepata. My take Nenda angaza pata ushauri zen pima huwez Jua Mungu anataka akuepushe Vp.... Cha msingi don't panic
Kwaio arv zinatibu magonjwa mawil tafautiSio kila anaemeza arv ni muathira wengine wanakua na homa ya inn wanapewa pia arvs so kua na amani
kama umepekua pochi ya mpenzi wako ukakuta hizo vidonge na kama wewe huwa hutumii kinga bhas ni vema kuanza kula matunda kwa wingi, fanya mazoez kias,pumzisha mwili wako, epuka ngono bila kinga, mboga za majan tumia kwa sana, epuka kuwa na msongo wa mawazo nk... itasaidia kuongeza salio lako la miaka ya kuwa dunian mkuu
Duuuuuuhkama umepekua pochi ya mpenzi wako ukakuta hizo vidonge na kama wewe huwa hutumii kinga bhas ni vema kuanza kula matunda kwa wingi, fanya mazoez kias,pumzisha mwili wako, epuka ngono bila kinga, mboga za majan tumia kwa sana, epuka kuwa na msongo wa mawazo nk... itasaidia kuongeza salio lako la miaka ya kuwa dunian mkuu
Kweli?Sio kila anaemeza arv ni muathira wengine wanakua na homa ya inn wanapewa pia arvs so kua na amani
Kuna mtu aliwah kuuliza swali hili hili kama lako na majibu ilikuwa arv
Asiwe amejinyonga huko, wakaribu wapo watupe taarifaHuyu mle mleta post kapotea ghafla huenda ameshachukua maamuzi magumu huko aliko
NdiooKweli?
We unaonajeSamahani mkuu hicho ni kiganja au unyayo?
Una hakika na unachokisemaKuna watu wako busy kugeuzageuza thread, akiona thread ime trend sana naye anatafuta muda wa kuirudisha thread kwa mgongo wa nyuma, sijui huwa wanafaidika nini?
Ndo vinatibu ugonjwa gan
We unaonaje
Anavitumia mchumba wako?