sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,752
- Thread starter
- #41
Hapana mkuu. Hii ni kanda ya ziwaMkuu upo kijiji gani wewe? kama upo karibu na kijiji cha kondoa irangi mjini dodoma nifahamishe hao wanaopima watakuwepo mpaka lini? kwani nina mteja wangu ana HIV Positive yupo huko kijijini kondoa ninataka akapime kwani nina mtibia sasa mwezi ni 3 na anaendelea vizuri kiafya. Sasa sijuwi hao wapimaji wa AMREF watapita huko kijijini kondoa irangi? Au hawapo sehemu hizo?