Msaada - Hisa za kampuni

Saljiv

Member
Feb 19, 2009
16
7
Kuna wafanyabiashara ambao wana ungana na professionals (accountants, engineers, IT etc) na kufungua kampuni. In such cases wafanyabiashara hao wanatoa mtaji during start-up na wanawa allocate certain amount of shares (during start up) hawo professionals. However, zimetokea cases whereby baada ya muda (wakati biashara zinaenda vizuri) wafanyabiashara hao wanawageuka hawo professional na kuwaambia kuwa since hawakutoa mtaji basi hawana haki ya kuwa share holders, hence, kama wanataka waendele kuwa waajiriwa tuu ! Jee kuna njia ya kuwa linda hawo professionals wasizulumiwe kiana ?
 
Hapo baadhi ya mambo hayako wazi maana katika shares ziko za aina tofauti tofauti na kila hisa zina haki zake. Sasa hao professionals walipewa hisa za kawaida inategemea kwa ujumla wao wanahisa kiasi gani dhidi ya hao wafanyabiashara maana kikao cha maamuzi kujadili mustakabali wa kampuni. Maana maranyingi majority yaani wenyewe hisa nyingi ndo wananguvu zaidi. Hata hivyo hao professionals wanahaki kupitia kiasi cha hisa walichonacho. Fafanua zaidi kwa msaada zaidi
 
Ahsante Quinty. Hawo professional walipewa common shares (minority share holders around 25%) na hawakuchangia mtaji (yaani hawakutoa pesa za mtaji) ila ilikuwa verbal agreement kama wao pia watakuwa shareholders katika kampuni
 
Back
Top Bottom