Najua samsung original inatokea hivo unapopiga sasa hiyo imetofautiana kabisa japo ikovizuri kwenye kila kitu isipokuwa sitaki tena kubeba simu fekiHabari sana Jamie forum . Chief_ mkwawa naomba Msaada nimenunua simu samsung galax j7 prime, mbona haina feature za samsung. Japo iko vizuri mtandao, camera, lakini ni nzito tofauti na Samsung nnazozijua, haina ule mstari wa kijani unatokeaga juu na sio amolled , kwa ujumla iko tofauti na nomads by Vietnam labda unaweza kunisaidia chochote kabla sijairudisha.
Nenda setting kweny about phone piga screenshot ilete hapa tuoneAnisaidie tuu