Kuna namba imenipigia le mchana sikuweza kupokea maana nilikuwa sehemu nisingeweza kuipokea nikatuma sms ikawa inaleta report kuwa sms unsuccesfully
Nilivyotaka kuipigia ikawa simu haiendi pia!
Namba yenyewe ni +255 901 ** ****
Je hii ni namba ya mtandao gani inaanza na +255(0)901 ??
Kuna namba imenipigia le mchana sikuweza kupokea maana nilikuwa sehemu nisingeweza kuipokea nikatuma sms ikawa inaleta report kuwa sms unsuccesfully
Nilivyotaka kuipigia ikawa simu haiendi pia!
Namba yenyewe ni +255 901 ** ****
Je hii ni namba ya mtandao gani inaanza na +255(0)901 ??
Siyo ya tigo mm pia natumia laini ya voda walinipigia juzi nikawa nimechelewa kupokea nilivyo kuja kuipiga tena ikagoma nikatuma msg zika goma! Number zenyewe hzi hapa +25590176123
Mimi mwenyewe nimepigiwa na hiyo no.na ninatumia airtel kwa bahati mbaya wakati inanipigia nilikuwa sehemu ambayo sikuweza kuipokea, nilipojaribu kuipigia iliita bila kupokelewa.
Jamani watu wa mitandao embu tuondoeni hofu hii ni no.za kampuni gani.
Kuna namba imenipigia le mchana sikuweza kupokea maana nilikuwa sehemu nisingeweza kuipokea nikatuma sms ikawa inaleta report kuwa sms unsuccesfully
Nilivyotaka kuipigia ikawa simu haiendi pia!
Namba yenyewe ni +255 901 ** ****
Je hii ni namba ya mtandao gani inaanza na +255(0)901 ??