chuganian
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,067
- 1,112
nimeshtuka ndo maanaSasa umekimbia nini??
nimeshtuka ndo maanaSasa umekimbia nini??
UtamuuaZipige salimia tu hapo.
Umekumbuka nn mkuuteh teh teh Pumb..u jero nimekumbuka mbali sana duuu

kama umeona kuweweseka kunahusika jiandaenimeshtuka ndo maana
Mkuu dogo tulimpiga detol ebhana dogo alilia usiku kucha sijui salimia itakuwajeUtamuua
sijaonakama umeona kuweweseka kunahusika jiandae
Nimeichukua hii pic nmekutumia pm u must face consequencessijaona
HahaaaKwa watu Wa dar inaitwa pumbu erosion. Pukupuku .
usiitume tafadhaliNimeichukua hii pic nmekutumia pm u must face consequences
usiitume tafadhali
au unataka kuona nimezimia?
nimeghairi kuzimia tena kisa tu hizo kitu wakat kwa vbanda vya msosi watu wanaagiza za ng'ombe kama hizoSalimia ni hatari kaka nilishawai kuchua mgongo nikakosea nikapashika huko siku hiyo nilijuta yaan mkojo unataka kuja hauji halafu kama pilipili kichaa ikikuwasha mdomo weeee nililia bahati nilikua site halafu usku yaan salimia achaMkuu dogo tulimpiga detol ebhana dogo alilia usiku kucha sijui salimia itakuwaje
Mi nina kipara but unipe hiyo dawa hadi nywele ziote ndio nikulipe!
za ng'ombe hazitishi kama hizo![]()
![]()
nimeghairi kuzimia tena kisa tu hizo kitu wakat kwa vbanda vya msosi watu wanaagiza za ng'ombe kama hizo
Ninyi ndio mlio vamia jf bila kujua mmekuja huku kufanya nini.Huo ni ujinga kutuonesha humu kwani humu kuna madokta Si uende hospitali