PASCHAL'S SON
Member
- Oct 27, 2015
- 29
- 3
Kwa waliotimiza vigezo vya 25% HESLB mkopo wao utatokalini jamani? Tunaomba msaada wakurugenzi.
Mkuu kuwa mvumilivu, maofisini kunakuwa na itifaki za kiofisi.... Mafaili ya wahusika huwa yanashughulikiwa kutoka ofisi au idara moja kwenda nyingine sasa kuwa mpole pesa zitatoka tu siku si nyingi.
Sawa mkuu
Wametoa! Mungu ni mwema.