Msaada haraka: Mouse ya Laptop imegoma

Kimbori

JF-Expert Member
Feb 21, 2012
5,445
3,201
Poleni kwa majukumu ndugu zangu. Naomba msaada juu ya jinsi ya kufanya kwani mouse pointer (touch pad) ya Laptop Gateaway imegoma 'kutembea', hivyo kunifanya kushindwa kufanya kazi kwa ajali ya kesho. Laptop imewaka kama kawaida ila mouse pointer imegoma.
Naomba msaada juu ya nini cha kufanya ili kurekebisha tatizo hili linalotishia 'ugali' wangu.
 
Poleni kwa majukumu ndugu zangu. Naomba msaada juu ya jinsi ya kufaya kwani mouse ya Laptop Gateaway imegoma 'kutembea', hivyo kunifanya kushindwa kufanya kazi kwa ajali ya kesho. Laptop imewaka kama kawaida ila mouse imegoma.
Naomba msaada juu ya nini cha kufanya ili kurekebisha tatizo hili linalotishia 'ugali' wangu.

mouse imegoma kutembeaje? iliyogoma ni mouse au mouse pointer? kesho kuna ajali gani?

Sijaelewa ni USB mouse au ni touchpad

Kama ni USB mouse basi jaribu kuitest kwenye kompyuta nyingine uone kama itafanya kazi.
 
mouse imegoma kutembeaje? iliyogoma ni mouse au mouse pointer? kesho kuna ajali gani?

Sijaelewa ni USB mouse au ni touchpad

Kama ni USB mouse basi jaribu kuitest kwenye kompyuta nyingine uone kama itafanya kazi.

Ahsante kwa ushiriki wako, nimeshafanya marekebisho ndugu.
 
Ahsante kwa ushiriki wako, nimeshafanya marekebisho ndugu.

Sawa. Sasa tuendelee kufanya troubleshooting. Mouse pointer inaonekana? Kama inaonekana ukijaribu ku right click unapata menu yoyote? Tuanzie hapo.
 
Right ckick hifanyi kazi, ila Menu ya Microsft inapatikana kupitia button. Mouse ponter inaonekana, ipo katikati ila haitembei.
 
Pole, kwa kusumbuliwa, unapokwama kuwa karibu na waliokutangulia, uwaulize watakusaidia,
open keyboard angalia mkanda wa mouse kama upo sawa kuna uwezekano mkubwa ukawa umekaa vibaya au umechomoka
 
Poleni kwa majukumu ndugu zangu. Naomba msaada juu ya jinsi ya kufanya kwani mouse pointer (touch pad) ya Laptop Gateaway imegoma 'kutembea', hivyo kunifanya kushindwa kufanya kazi kwa ajali ya kesho. Laptop imewaka kama kawaida ila mouse pointer imegoma.
Naomba msaada juu ya nini cha kufanya ili kurekebisha tatizo hili linalotishia 'ugali' wangu.
moja,kwanza pole kwa yaliyokukuta..pili samahan kwa kuchelewa,mwisho,kama hujafanikiwa, do this.......
bonyeza Fn+f1,f2,.............................................f12.... usiachie fn key...then anzia f1,bonyeza...hadi kumi na mbili..... ENJoy...
 
Pole, kwa kusumbuliwa, unapokwama kuwa karibu na waliokutangulia, uwaulize watakusaidia,
open keyboard angalia mkanda wa mouse kama upo sawa kuna uwezekano mkubwa ukawa umekaa vibaya au umechomoka
baaaaaaaaataharibu kingne
 
Back
Top Bottom