jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
Nilikuwa nikituma SMS kwa Gmail (comp.)kutuma kwenda kwenye sim za mkononi kwenye mitandao ya Vodacom na Tigo,wiki ya pili sasa kila nikituma sms haziwafikii au wao wakinitumia hazinifikii shida ni nini wakubwa au nirekebishe nini kwenye Gmail settting?