Habari wadau,
natumaini humu kuna wakuu wa fani Mbali mbali wanaoweza kunisaidia katika suala la Ardhi.
Niko Mkoani,Nimeenda Halmashauri ya Mji A.
Nimepeleka Maombi ya Kubadilishiwa Matumizi Wamenipa Gharama kubwa mnoo hadi nimeshangaa!
Naombeni Msaada kujua niendeNikalalamike wapi
Nime aa atch mchanguo wai
natumaini humu kuna wakuu wa fani Mbali mbali wanaoweza kunisaidia katika suala la Ardhi.
Niko Mkoani,Nimeenda Halmashauri ya Mji A.
Nimepeleka Maombi ya Kubadilishiwa Matumizi Wamenipa Gharama kubwa mnoo hadi nimeshangaa!
Naombeni Msaada kujua niendeNikalalamike wapi
Nime aa atch mchanguo wai
