jon billz jr
Member
- Sep 20, 2012
- 8
- 1
jmn wandugu nahitaj msaada wa gharama za hostel main campus n sh ngap kwa semester na mabibo napo ni sh ngap kwa semester.......kwa wana udsm na wasio wa udsm jmn yyt anaejua
SEMISTER INA WIKI KUMI NA SABA 17 WIKI INA SIKU SABA 7 KWA HIVYO BASIkwa siku ngapi jumla yaani semester ni muda gani?
Kaka kwa main campus ni sh 800 per day
na mabibo ni sh 500 per day
NB: washapanga tayar majna ya accomadation xo jicheki ili ujue umepata wapi
Unaporipoti ukishalipia chumba watakupa room mana majina wamepanga,nimepata tarifa kutoka MUCE Kua bei imepanda,sina tarifa za DUCE NA MC,ila ninachojua ukichelewa kuripoti tar1 hawakupi room,maelezo zaidi fika MC Maelekezo yote utapata kwenye join intruct
Hebu acheni uzembe. Si mpige simu chuo au nenda kapate habari za uhakika hukohuko chuoni kuliko kusumbua watu. Mwenzeni kawafahamisheni anayoyafahamu bado mnaendelea mara hiki mara hiki. Hebu changamsheni akili. Kuna internet mnaweza pata maelezo kwenye prospectus. Msiwe wavivu kusumbuka ndio maisha kwanza yanaanza.kaka nimekusoma,ila unamaanisha naweza kwenda kabla ya tarehe 1!na hyo hela imenda imefika kiasi gani mkubwa?tusaidie coz hatuelewi chochote
eti mkuu na MUCE Wanatoa list ya majina ya watakaokaa hostel?Dogo ni kua Bei za MUCE,MC,DUCE Si sawa,watu wa MC,Mabibo walikua wanalipa40,000 Na10elfu ya tahadhari,wakati MUCE ilikua 60kwa nusu semista,kwa mwaka120000,Ila bei mpya MUCE NI180,000Kwa mwaka,Kachukue join instruction mda wowote uende na kitambulisho uta