Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu: Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitanigharimu sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha.
Ombi langu kwenu: Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitanigharimu sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha.