kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,514
- 7,909
jamani naomba mnipe msaada wa namna ya kudownload games haswa GTA na FIFA, nimejaribu kwa torrent nimeshndwa, natumia window xp, 2.99 processor, 1gb ram
au kama kuna msamalia mwema anaweza kunipatia hzo game aniambie nimfate kokote jamani.
Help me wandugu.
nunua laptop mpya mkuu tena upate mashine yenye card yakutosha.