Msaada: Galaxy Note 4 inazima na kuwaka yenyewe!!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
16,344
Reaction score
37,788
Wadau nimekuwa nikipata hili tatizo kwenye simu yangu(samsung galaxy note 4), muda mwingine inawaka na kutoa maandishi na inazima, muda mwingine hata maandishi haitoi wala kuonyesha % za kujichaji, yaan inakuwa inavibrate na kujizima na kujirudia!!

Naombeni mawazo yenu nini cha kufanya kabla ya kupelekea mafundi!!

Natanguliza shukrani!!
 
ni original?? fanya ku restore kwanza ikishindikana itabid uweke rom Mpya
 

Kuwa makini na mafundi mkuu
 
Inawezekana button ya power imejiHold
 
Hapo ungepeleka kkoo ingekutoka karibu 45000 na camera ubadilishiwe na mic uekewe mbovu. Hongera kwa kujitatulia tatizo mwenyewe
Ni kweli ndiyo maana nikalileta humu kwanza.. Maana mafundi wengi wababaishaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…