klorokwine
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 378
- 33
Wakuu naomba kusaidiwa ni wapi na namna gani naweza kuandika na kupeleka proposal yangu kwa ajili ya kuombea ada ya kozi fulani ya ujasiriamali inayotolewa nje ya nchi.
Kozi hiyo haitolewi popote kwa hapa nchini Tanzania.
Msaada tafadhali.
Kozi hiyo haitolewi popote kwa hapa nchini Tanzania.
Msaada tafadhali.