kozi nzuri tulia usome ... maliza mwaka wa kwanza njoo ntakupa ushauri zaidiplease kwa anaejua kwa undani hi coarse tusaidiane kujua umuhmu wake na hasara zake baada na wakati wa masomo npo nmechagulwa UDOM
kozi nzuri tulia usome ... maliza mwaka wa kwanza njoo ntakupa ushauri zaidi
please kwa anaejua kwa undani hi coarse tusaidiane kujua umuhmu wake na hasara zake baada na wakati wa masomo npo nmechagulwa UDOM
BCOM-Finance ndo habari ya MUJININami npo mwaka wa pili course nzuri inakupa knowledge ya IT na tena na businesses kwa ujumla ipo njema