donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nina katoy kangu aina ya starlet carat ninachokatumia katika misele ya hapa na pale. Nilikikwara kwa mtu, ila changamoto kubwa ikawa ni ulaji wa mafuta.
Aisee gari utadhani alphard inavyokunywa wese wakati kikawaida inatakiwa kugonga 16KM/L. Jingine likawa ni kuchelewa kuchanganya, yaan unaweza ukakanyaga accelerator mpaka mwisho lakini haichanganyi instantly mpaka kuovertake inakua risk.
NilijRibu kubadili nozzles na plug ila wapi, sasa nimeshauliwa kufanya overhaul. Swali je overhaul inasaidia nini katika matatizo hayo wakuu?
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nina katoy kangu aina ya starlet carat ninachokatumia katika misele ya hapa na pale. Nilikikwara kwa mtu, ila changamoto kubwa ikawa ni ulaji wa mafuta.
Aisee gari utadhani alphard inavyokunywa wese wakati kikawaida inatakiwa kugonga 16KM/L. Jingine likawa ni kuchelewa kuchanganya, yaan unaweza ukakanyaga accelerator mpaka mwisho lakini haichanganyi instantly mpaka kuovertake inakua risk.
NilijRibu kubadili nozzles na plug ila wapi, sasa nimeshauliwa kufanya overhaul. Swali je overhaul inasaidia nini katika matatizo hayo wakuu?