AhahahahaHaya uzi ufungwe sasa umepafamu tayari
utatujazia saver bure
He heeeBila shaka wewe ni mwanaume wa mkoani. Karibu sana jijini! Jisikie upo nyumbani mkuu.
Kuna kinondoni na vingungutiSalute...
Wakuu naomba kufahamishwa kuhusu ni wapi eneo hili la "Mtambani" linapatikani Dar es Salaam...
Boko ni wilaya ya Kinondoni mkuuNa boko kuna mtambani.wilaya ya ubungo
Boko ni wilaya ya Kinondoni mkuu
Ubungo inaishia goba .imekua ubungo mkuu si kuna wilaya mpya siku hiz
kumbe mkuuUbungo inaishia goba .
huo mtaa sitousahau maishani mwangu!!!kuna siku nilipita huo mtaa kumbe nimeingia anga za wahuni!!walinichukulia kila kitu wakaniachia pens tu dah!!Mtambani ni mtaa uliopo katika kata ya vingunguti Manispaa ya Ilala