Msaada: Emanuel Tv ya TB Joshua.

Msaada: Emanuel Tv ya TB Joshua.

mathabane

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
2,405
Reaction score
1,898
Habari zenu wana JF. Mi natumia dikoda ya startimes, naomba mwenye ufahamu aniambie ni kifurushi gani inapatikana Emanuel tv ya TB Joshua. Ahsanteni na Mungu awabariki.
 
Habari zenu wana JF. Mi natumia dikoda ya startimes, naomba mwenye ufahamu aniambie ni kifurushi gani inapatikana Emanuel tv ya TB Joshua. Ahsanteni na Mungu awabariki.

Startimes waliiweka Emanuel Tv kwa mbwembwe na matangazo kibao watu wakanunua ving'amuzi vyao kwa kasi wakapigwa biti zito waitoe wakasalimu amri wakaichomoa bila kutoa sababu zozote hadi leo.
startimes wapo humu wakanushe kama hawakupigwa biti!
 
Last edited by a moderator:
Nunua cha Easy TV,wako vizuri kshnz clear km umeweka CD origional!
 
Vipi king'amuzi cha digiteki hakina chanel ya emanuel tv? Mwenye nacho atujuze.
 
Startimes waliiweka Emanuel Tv kwa mbwembwe na matangazo kibao watu wakanunua ving'amuzi vyao kwa kasi wakapigwa biti zito waitoe wakasalimu amri wakaichomoa bila kutoa sababu zozote hadi leo.
startimes wapo humu wakanushe kama hawakupigwa biti!

kwanza nikuulize uko mkoa gani? kama uko dar, mwanza nuniua nunua nkingamuzi cha agape (tin) au nunua dish kubwa ufiunge LNB ndogo na utaipata kwenye 20ku
 
Last edited by a moderator:
Vipi king'amuzi cha digiteki hakina chanel ya emanuel tv? Mwenye nacho atujuze.

emmanuel tv huwa naiangalia kupitia digitek 24/7. Hata mimi nilihisi startimes wamepigwa mkwala, wasingeitangaza vile then ghafla from nowhere wakaiondoa.
 
kwanza nikuulize uko mkoa gani? kama uko dar, mwanza nuniua nunua nkingamuzi cha agape (tin) au nunua dish kubwa ufiunge LNB ndogo na utaipata kwenye 20ku

Mkuu mimi nalamba FTA kamakawa sitaki utitiri wa Visimbusi.
 
Habari zenu wana JF. Mi natumia dikoda ya startimes, naomba mwenye ufahamu aniambie ni kifurushi gani inapatikana Emanuel tv ya TB Joshua. Ahsanteni na Mungu awabariki.

Una haja ya kununua decoda za makampuni we nunua decoda yoyote dukani na dish la futi 6 mwambie fundi akufungie LNB ndogo ya ku band utapata immanuel tv na zingine za dini mzuri sana kama miracle TV na nyingine kama 80 bule bila kulipia
 
inapatikana kwenye TING, DIGITEK, EASY TV; chaguo ni lako
 
Back
Top Bottom