Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Wadau wa Elimu mi nataka kujiendeleza japo umri umekwenda. enzizetu kwenda shule ya upili ilikuwa shughuri. ukizingatia shule ilikuwa moja MWANZA na baadae ikaja PAMBA. nifuate nini ili niweze kusoma Elimu ya watu waziwa. nimeishia std (vii) asanteni