Msaada: Duka la madawa linalopokea card za NHIF

tamsana

JF-Expert Member
Jan 13, 2012
3,221
7,080
Habari wanajamvi...
Kama title inavyojieleza, naomba anayefahamu duka la dawa lolote linalotoa huduma kwa kutumia card za NHIF kwa hapa dar hasa maeneo ya posta, kariakoo na kigamboni hapa Dar es salaam.

Asanteni!
 
Process zinaweza kuanzia hapo duka la dawa au ni mpaka dawa zikosekane hospital uliyoenda?
 
maduka ya dawa hupokea fomu maalum inayoonesh hizo dawa ulizokosa hiko hospitali na kila hospital ina kiwango cha dawa kam unatako dawa zoe unatakiwa upate fomu kutok hospital teule au ya rufaa na sio dispensary kwan despensary zina ukomo wa matibabu na dawa pia
 
Back
Top Bottom