huu uhuni. mtaliwa hela bure nq tatizo likawepo.
kawaida mifupa huwa inapona na kuunga yenyewe bila hata kupata matibabu.
muda tu huifanya iunge.
tatizo linakuja kama;
-kuna vidonda vyenye uambukizo
- haiko aligned vizuri na kuna nyama kati ya mifupa.
issue ni namna mfupa utakavyounga na muonekano wa sehemu iliyovunjika.
hapo ndipo madaktari wa mifupa wanafanya kazi zao.
kuna mvunjiko hata iweje hauji kuunga bila kudanyiwa operation na kuwekewa vyuma.
hawa wanajiita waganga wa kienyeji ni uhuni tu wanawafanyia wagonjwa na kuwalia hela.
mwisho wa siku wanarudi hospitali wakiwa wamechelewa na wengine hukatwa miguu kabisa.