popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 373
Wanajamvi naomba msaada nimepanda juzi matikiti na Leo yameanza kuchipua naomba msaada wa Dawa gani bora ya wadudu na hatua gani muhimu za kufuata katika Dawa binafsi sijui ila nafanikiwa mpaka sasa kwa msaada wa humu jamvini kwani nimekuwa nikifuata ushauri wenu humu na mpaka sasa miche imechipua sasa narudi tena kuuliza ni Dawa gani nzuri kwa wadudu au kwa hatua hii nifanye nini?
Karibuni maana nimeambiwa Dawa lazima japokuwa bado niche haijaanza kuliwa na wadudu
Karibuni maana nimeambiwa Dawa lazima japokuwa bado niche haijaanza kuliwa na wadudu