Msaada: Dawa ya mtu kuacha pombe

Msaada: Dawa ya mtu kuacha pombe

kj75

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2019
Posts
553
Reaction score
658
Habari Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Mimi Nina Kaka angu ambae juzi tu mwezi huu wa Saba ndo ametimiza miaka 40 Sasa anakunywa pombe, mchana asubuhi Na jion hata hajali Sasa inafika hatua Hadi kazini wanataka kumfukuza tunatafuta watu wa busara wanamwombea msamaha anakiri kuacha pombe lkn baada ya wiki moja analud Tena

Tatzo siyo kunywa pombe akinywa pombe matendo anayofanya hata kitaa huwezi kutamani yule akawa ndugu yako lkn Sasa Ni brother angu Haina namna nimekaa nae Zaid ya Mara tano lkn bado naona sijasolve tatzo kabisa akinywa anajikojolea matusi hovyo

Imefikia hatua hata kwenye kikao Cha family yeye anadhaulika hata Na watoto wadogo wa miaka 20 Na 18 kwa sababu wakati huo yeye Ni mtumishi wa uuma

Sasa hapa hatuelewi maana yeye ameishi Na wake wanne Hadi Sasa watatu waliondoka huyu wa nne ndo amemoa juzi tu hata mimba bado ni ndogo hao wote watatu wameondoka Na watoto Sasa tunahisi mwisho Wake hautakuwa mzuri kwa sababu ya watoto atastaafu watoto wengne hata form four hawajafika hivyo litakuwa tatzo ndo maana naomba dawa mwenye kujua pengne tutaokoa vitu vingi

Inaonekana mwanamke wake wa Kwanza alimuwekea limbwata Sasa je inaweza ikawa ndo sababu anakuwa hivyo au Kuna sababu zingne

Naomba kuwasilisha
 
Habar Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Mimi Nina Kaka angu ambae juzi tu mwezi huu wa Saba ndo ametimiza miaka 40 Sasa anakunywa pombe, mchana asubuhi Na jion hata hajali Sasa inafika hatua Hadi kazini wanataka kumfukuza tunatafuta watu wa busara wanamwombea msamaha anakiri kuacha pombe lkn baada ya wiki moja analud Tena

Tatzo syo kunywa pombe akinywa pombe matendo anayofanya hata kitaa huwezi kutamani yule akawa ndugu yako lkn Sasa Ni brother angu Haina namna nimekaa nae Zaid ya Mara tano lkn bado naona sijasolve tatzo kabisa akinywa anajikojolea matusi hovyo

Imefikia hatua hata kwenye kikao Cha family yeye anadhaulika hata Na watoto wadogo wa miaka 20 Na 18 kwa sababu wakati huo yeye Ni mtumishi wa uuma

Sasa hapa hatuelewi maana yeye ameishi Na wake wanne Hadi Sasa watatu waliondoka huyu wa nne ndo amemoa juzi tu hata mimba bado ni ndogo hao wote watatu wameondoka Na watoto Sasa tunahisi mwisho Wake hautakuwa mzuri kwa sababu ya watoto atastaafu watoto wengne hata form four hawajafika hivyo litakuwa tatzo ndo maana naomba dawa mwenye kujua pengne tutaokoa vitu vingi

Inaonekana mwanamke wake wa Kwanza alimuwekea limbwata Sasa je inaweza ikawa ndo sababu anakuwa hivyo au Kuna sababu zingne

Naomba kuwasilisha
Nianze kwa kukutia moyo tu kwamba, pengine mimi nilikuwa mlevi kuliko kaka yako, lakini ukiniona leo hutoamini, naichukia pombe kwa milango yangu yote ya fahamu.

Tatizo la unywaji wa pombe uliopitiliza linaweza kuwa la kiroho au la Kisaikolojia. Hivyo, tiba itategemeana na chanzo cha unywaji huo. Kwasababu hakuna sehemu ya kupigia ramli kujua chanzo cha tatizo, inabidi ujaribu njia zote.

Kwa imani yangu mimi nilianzia Kanisani na nikafunguliwa, kwa kifupi ni kwamba nilikuwa nimeshikiliwa na nguvu kali sana za giza. Tena uende Makanisa ya Kiroho (ya Kilokole) kwa Mtumishi mwenye nguvu za Mungu kweli (omba ushauri na uisikilize dhamiri yako pia), ukienda kwa makanjanja utapoteza tu muda wako.

Kama ni la Kisaikolojia, tiba yake ipo pia, akafanyiwe counselling ambayo ni church-annexed (hii ni ile counselling ya makanisani kutoka kwa Watumishi wa Mungu wabobezi wa huduma hiyo), kwa mfano mimi kabla sijaombewa na huyo Mtumishi, alini-counsel kwanza, tena kikawaida tu; bila hata kutaja kifungu cha Biblia.

Kazi kwako mkuu. Ila usikate tamaa. Kumbuka, hakuna jambo linaloshindikana kwa Mungu (Luka 1:37).
 
Nianze kwa kukutia moyo tu kwamba, pengine mimi nilikuwa mlevi kuliko kaka yako, lakini ukiniona leo hutoamini, naichukia pombe kwa milango yangu yote ya fahamu.

Tatizo la unywaji wa pombe uliopitiliza linaweza kuwa la kiroho au la Kisaikolojia. Hivyo, tiba itategemeana na chanzo cha unywaji huo. Kwasababu hakuna sehemu ya kupigia ramli kujua chanzo cha tatizo, inabidi ujaribu njia zote.

Kwa imani yangu mimi nilianzia Kanisani na nikafungulia, kwa kifupi ni kwamba nilikuwa nimeshikiliwa na nguvu kali sana za giza. Tena uende Makanisa ya Kiroho (ya Kilokole) kwa Mtumishi mwenye nguvu kweli za Mungu (omba ushauri na uisikilize dhamiri yako pia), ukienda kwa makanjanja utapoteza tu muda wako.

Kama ni la Kisaikolojia, tiba yake ipo pia, akafanyiwe counselling ambayo ni church-annexed (hii ni ile counselling ya makanisani kutoka kwa Watumishi wa Mungu wabobezi wa huduma hiyo), kwa mfano mimi kabla sijaombewa na huyo Mtumishi, alini-counsel kwanza, tena kikawaida tu; bila hata kutaja kifungu cha Biblia.

Kazi kwako mkuu. Ila usikate tamaa. Kumbuka, hakuna jambo linaloshindikana kwa Mungu (Luka 1:37).
Asante Sana mkuu
 
Habar Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Mimi Nina Kaka angu ambae juzi tu mwezi huu wa Saba ndo ametimiza miaka 40 Sasa anakunywa pombe, mchana asubuhi Na jion hata hajali Sasa inafika hatua Hadi kazini wanataka kumfukuza tunatafuta watu wa busara wanamwombea msamaha anakiri kuacha pombe lkn baada ya wiki moja analud Tena

Tatzo syo kunywa pombe akinywa pombe matendo anayofanya hata kitaa huwezi kutamani yule akawa ndugu yako lkn Sasa Ni brother angu Haina namna nimekaa nae Zaid ya Mara tano lkn bado naona sijasolve tatzo kabisa akinywa anajikojolea matusi hovyo

Imefikia hatua hata kwenye kikao Cha family yeye anadhaulika hata Na watoto wadogo wa miaka 20 Na 18 kwa sababu wakati huo yeye Ni mtumishi wa uuma

Sasa hapa hatuelewi maana yeye ameishi Na wake wanne Hadi Sasa watatu waliondoka huyu wa nne ndo amemoa juzi tu hata mimba bado ni ndogo hao wote watatu wameondoka Na watoto Sasa tunahisi mwisho Wake hautakuwa mzuri kwa sababu ya watoto atastaafu watoto wengne hata form four hawajafika hivyo litakuwa tatzo ndo maana naomba dawa mwenye kujua pengne tutaokoa vitu vingi

Inaonekana mwanamke wake wa Kwanza alimuwekea limbwata Sasa je inaweza ikawa ndo sababu anakuwa hivyo au Kuna sababu zingne

Naomba kuwasilisha
Wokovu ndio dawa pekee. Mifano halisi ninayo.
 
Kaka yako yuko Mkoa gani?Kuna mahali anaweza kwenda kama yuko tayari
 
Habar Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Mimi Nina Kaka angu ambae juzi tu mwezi huu wa Saba ndo ametimiza miaka 40 Sasa anakunywa pombe, mchana asubuhi Na jion hata hajali Sasa inafika hatua Hadi kazini wanataka kumfukuza tunatafuta watu wa busara wanamwombea msamaha anakiri kuacha pombe lkn baada ya wiki moja analud Tena

Tatzo syo kunywa pombe akinywa pombe matendo anayofanya hata kitaa huwezi kutamani yule akawa ndugu yako lkn Sasa Ni brother angu Haina namna nimekaa nae Zaid ya Mara tano lkn bado naona sijasolve tatzo kabisa akinywa anajikojolea matusi hovyo

Imefikia hatua hata kwenye kikao Cha family yeye anadhaulika hata Na watoto wadogo wa miaka 20 Na 18 kwa sababu wakati huo yeye Ni mtumishi wa uuma

Sasa hapa hatuelewi maana yeye ameishi Na wake wanne Hadi Sasa watatu waliondoka huyu wa nne ndo amemoa juzi tu hata mimba bado ni ndogo hao wote watatu wameondoka Na watoto Sasa tunahisi mwisho Wake hautakuwa mzuri kwa sababu ya watoto atastaafu watoto wengne hata form four hawajafika hivyo litakuwa tatzo ndo maana naomba dawa mwenye kujua pengne tutaokoa vitu vingi

Inaonekana mwanamke wake wa Kwanza alimuwekea limbwata Sasa je inaweza ikawa ndo sababu anakuwa hivyo au Kuna sababu zingne

Naomba kuwasilisha
Changanya pombe na maziwa ya ngurue akiendelea kunywa pombe niite mbwa
 
Changanya pombe na maziwa ya ngurue akiendelea kunywa pombe niite mbwa

Hiyo iko poa sana. Nasikia hiyo ni kiboko.

Another one
 

Attachments

  • Screenshot_20220728-155102.png
    Screenshot_20220728-155102.png
    53.1 KB · Views: 306
Haya mambo huwa pia kuna nguvu ya kishirikina,unakuta muuza pombe anamwaga madawa kwenye bidhaa ili kuvuta wateja na ukitumia kweli utakua unawaza kwenda kwake kutumia.
 
Nianze kwa kukutia moyo tu kwamba, pengine mimi nilikuwa mlevi kuliko kaka yako, lakini ukiniona leo hutoamini, naichukia pombe kwa milango yangu yote ya fahamu.

Tatizo la unywaji wa pombe uliopitiliza linaweza kuwa la kiroho au la Kisaikolojia. Hivyo, tiba itategemeana na chanzo cha unywaji huo. Kwasababu hakuna sehemu ya kupigia ramli kujua chanzo cha tatizo, inabidi ujaribu njia zote.

Kwa imani yangu mimi nilianzia Kanisani na nikafungulia, kwa kifupi ni kwamba nilikuwa nimeshikiliwa na nguvu kali sana za giza. Tena uende Makanisa ya Kiroho (ya Kilokole) kwa Mtumishi mwenye nguvu za Mungu kweli (omba ushauri na uisikilize dhamiri yako pia), ukienda kwa makanjanja utapoteza tu muda wako.

Kama ni la Kisaikolojia, tiba yake ipo pia, akafanyiwe counselling ambayo ni church-annexed (hii ni ile counselling ya makanisani kutoka kwa Watumishi wa Mungu wabobezi wa huduma hiyo), kwa mfano mimi kabla sijaombewa na huyo Mtumishi, alini-counsel kwanza, tena kikawaida tu; bila hata kutaja kifungu cha Biblia.

Kazi kwako mkuu. Ila usikate tamaa. Kumbuka, hakuna jambo linaloshindikana kwa Mungu (Luka 1:37).
Umenena vema.Kama chanzo cha unywaji hakitatatuliwa kuacha inakuwa ngumu
 
Habar Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Mimi Nina Kaka angu ambae juzi tu mwezi huu wa Saba ndo ametimiza miaka 40 Sasa anakunywa pombe, mchana asubuhi Na jion hata hajali Sasa inafika hatua Hadi kazini wanataka kumfukuza tunatafuta watu wa busara wanamwombea msamaha anakiri kuacha pombe lkn baada ya wiki moja analud Tena

Tatzo siyo kunywa pombe akinywa pombe matendo anayofanya hata kitaa huwezi kutamani yule akawa ndugu yako lkn Sasa Ni brother angu Haina namna nimekaa nae Zaid ya Mara tano lkn bado naona sijasolve tatzo kabisa akinywa anajikojolea matusi hovyo

Imefikia hatua hata kwenye kikao Cha family yeye anadhaulika hata Na watoto wadogo wa miaka 20 Na 18 kwa sababu wakati huo yeye Ni mtumishi wa uuma

Sasa hapa hatuelewi maana yeye ameishi Na wake wanne Hadi Sasa watatu waliondoka huyu wa nne ndo amemoa juzi tu hata mimba bado ni ndogo hao wote watatu wameondoka Na watoto Sasa tunahisi mwisho Wake hautakuwa mzuri kwa sababu ya watoto atastaafu watoto wengne hata form four hawajafika hivyo litakuwa tatzo ndo maana naomba dawa mwenye kujua pengne tutaokoa vitu vingi

Inaonekana mwanamke wake wa Kwanza alimuwekea limbwata Sasa je inaweza ikawa ndo sababu anakuwa hivyo au Kuna sababu zingne

Naomba kuwasilisha
Changanya maziwa ya mama anaenyonyesha na pombe atatapika sana na kila akinywa atakuwa anatapika...changamoto ni moja atakubali kunywa huo mchanganyiko
 
Changanya maziwa ya mama anaenyonyesha na pombe atatapika sana na kila akinywa atakuwa anatapika...changamoto ni moja atakubali kunywa huo mchanganyiko
Watu wanapiga mtungi wanarudi kwa wake zao nyumbani na wanawanyonya maziwa fresh tu(wake wenye watoto wadogo)
 
Back
Top Bottom