Nashukuru mkuu...nimefanikiwa kurecover some of my stuffs but half of those recovered files and other media like music n video hazifunguki kbs na kuna nyingine ukizifungua huwa zinaleta kitu kingine tofauti na original media...tatizo linaweza kuwa ni nini na je kuna any possible solution on it?
hii mara nyingi inaweza kuwa ni kufanyia installation kwenye disk ambayo unataka kurecovery mfano unataka kurecovery vitu katika local disk C: then still bado unaitumia kuweka files hii itacause futher data loss
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.