Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,717
Reaction score
4,295
Habar wakuu,nimefika dar kwa tatizo la mtoto wangu miaka9 anashida ya mgongo kunyooka,nilileta kwenu mpaka vipimo vya x-ray mkashairi Nifike moi hasa hasa nionane na daktar bingwa wa mishipa ya fahamu kwa uchunguzi
Sasa nimefika hapa naomba kuonana nahao nimekuwa directed kwa datar yoyote tu ,wameniandikia x ray Tena
Sasa wakuu naomba kwa anaefahamu daktar bingwa wa mishipa ya fahamu moi anitajie
 
Habar wakuu,nimefika dar kwa tatizo la mtoto wangu miaka9 anashida ya mgongo kunyooka,nilileta kwenu mpaka vipimo vya x-ray mkashairi Nifike moi hasa hasa nionane na daktar bingwa wa mishipa ya fahamu kwa uchunguzi
Sasa nimefika hapa naomba kuonana nahao nimekuwa directed kwa datar yoyote tu ,wameniandikia x ray Tena
Sasa wakuu naomba kwa anaefahamu daktar bingwa wa mishipa ya fahamu moi anitajie
Kila la kheri Mwanao apate afya njema. Amina
 
Kwaiyo hapo niende moi au mloganzila
Anzia hapo moi,kisha wao watakudirect mloganzila

Nilikuwa na case ya baba yangu,alipata presha ikaathiri mishipa ya fahamu,tulianzia temeke,tukapigwa rufaa moi kisha mloganzila

Kule madaktari wote wazuri tu katika nyanja ya mishipa ya fahamu

Kila la kheri expert wangu
 
Ungeenda hospital Moi leo ni clinic ya watoto kesho madaktari wengi wanakua kwenye operation siku nzuri nyingine ni alhamisi utakutana na clinic ya watoto

Dr mcharo
Dr Msami
Dr lema
Etc
Yeyote hapo atakupa msaada vizuri
 
Habar wakuu,nimefika dar kwa tatizo la mtoto wangu miaka9 anashida ya mgongo kunyooka,nilileta kwenu mpaka vipimo vya x-ray mkashairi Nifike moi hasa hasa nionane na daktar bingwa wa mishipa ya fahamu kwa uchunguzi
Sasa nimefika hapa naomba kuonana nahao nimekuwa directed kwa datar yoyote tu ,wameniandikia x ray Tena
Sasa wakuu naomba kwa anaefahamu daktar bingwa wa mishipa ya fahamu moi anitajie
Pole kwa kuuguliwa. Pia kuna Dr Njenje hapo MOI.
 
Ungeenda hospital Moi leo ni clinic ya watoto kesho madaktari wengi wanakua kwenye operation siku nzuri nyingine ni alhamisi utakutana na clinic ya watoto

Dr mcharo
Dr Msami
Dr lema
Etc
Yeyote hapo atakupa msaada vizuri
Nimeanza Leo wamenipeleka kwa daktar wa mifupa majibu niyale Yale,,Sasa mim nataka kuonana na wamishipa ya fahamu kwa uchunguzi na vipimo zaid
 
Anzia hapo moi,kisha wao watakudirect mloganzila

Nilikuwa na case ya baba yangu,alipata presha ikaathiri mishipa ya fahamu,tulianzia temeke,tukapigwa rufaa moi kisha mloganzila

Kule madaktari wote wazuri tu katika nyanja ya mishipa ya fahamu

Kila la kheri expert wangu
Ndo nimeanzia hapa Leo moi wamenipeleka kwa daktar wa mifupa kafanya x ray majibu niyale Yale kama ya mkoani niliko toka,,Sasa nataka nionane na daktar bingwa wa mishipa ya fahamu nae afanye uchunguzi zaid,,ndo naulizia moi wapo hao wamishipa ya fahamu au ndo mpaka mloganzila
 
Anzia hapo moi,kisha wao watakudirect mloganzila

Nilikuwa na case ya baba yangu,alipata presha ikaathiri mishipa ya fahamu,tulianzia temeke,tukapigwa rufaa moi kisha mloganzila

Kule madaktari wote wazuri tu katika nyanja ya mishipa ya fahamu

Kila la kheri expert wangu
Vip mkuu baba Yako kwenda mloganzila aliitumia kadi ya moi hiyo hiyo au aliopewa barua ya referral toka moi kwenda mloganzila
 
Pole sana mkuu.

Ila nafikiri madaktari wa kitengo cha mishipa ya fahamu kwasasa wapo Mloganzila. Hivyo baada ya zoezi hilo unaweza kuwa directed kule.
Mungu amsaidie apone🙏🏽🙏🏽.
Ili niweze kuonana na daktar bingwa wa mishipa ya fahamu Kwaiyo hapa kesho natakiwa niende wap moi au mloganzila ?
 
Back
Top Bottom